> opens new window: Organization | Constitution | Documents | Journal | Kandoro Prize | Books for Tanzania | Diwani ya tanzanet
  Login or Register
•   Home  •  Downloads  •  Your Account  •
Main Menu
Random Dictionary
Your random word is:

Bovine (a.) Of or pertaining to the genus Bos; relating to, or resembling, the ox or cow; oxlike; as, the bovine genus; a bovine antelope.

Search Dictionary:



Tanzania Headlines

·Legislators Demand Graft Probes
·Tanzania Rejects Mugabe Win
·Soften Positions to End Zanzibar Now
·Decisive Action Needed
·Government Planning to Bypass Kenya, Tanzania Ports
·Opposition CUF Calls for 'In-Depth' Probe of Graft Claims
·ICTR Will Seek Extension If There Are No Transfers to Country, Warns Top Attorney
·Clean Party Polls Vital
·MP- ATCL Leasing Defective Airplanes
·Dar Es Salaam And Coast in Final

read more...

KILOSA YAKUMBWA NA MAFURIKO
TANZANET-News

*Mazao, kaya 75 zasambaratika

NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO

ZAIDI ya kaya 75 katika Tarafa ya Dumila wilayani Kilosa, hawana mahali pa kuishi kutokana na nyumba zao kubomoka baada ya mafuriko yaliyotokea mwishoni mwa wiki jana katika Mto Magole.

MAJIRA ilishuhudia baadhi ya familia zikiishi katika viambaza vya nyumba za jirani ambazo zilisalimika na maafuriko hayo katika vijiji vya Magole, Ukamba na Dumila.

Hata hivyo baadhi ya waliionusurika na mafuriko hayo walisema yalitokana na mvua kunyesha katika milima ya Ukaguru na kusababisha mto huo kufurika.

Posted by mpitanjia on Wednesday, January 21 @ 02:17:42 PST (2048 reads)
(Read More... | 2415 bytes more | 1 comment | Score: 4.5)
SERIKALI YAKATAA OMBI
TANZANET-News

NA MWANDISHI WETU

WIZARA ya Fedha imekataa maombi ya wanachuo wanaosomea Stashahada ya Uzamili ya Uhasibu (PGDA), chini ya udhamini wa Serikali katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) ya kutaka kulipwa posho kama ilivyoelekezwa na waraka wa Serikali.

Posted by mpitanjia on Wednesday, January 14 @ 00:07:17 PST (2016 reads)
(Read More... | 578 bytes more | 1 comment | Score: 0)
SUA LAUNCHES TWO NEW DEGREE COURSES
TANZANET-News

BY BONVENTURE MTALIMBO, MOROGORO

COUNTRIES in the eastern zone and south of Africa are facing shortage of irrigation engineers and land use management experts.

The chairperson of the Sokoine University of Agriculture (SUA) council Nicolaus Kuhanga told THE EXPRESS this week that the university had launched two degree programmes to meet the demand for agricultural professionals.

Posted by mpitanjia on Thursday, January 08 @ 05:40:14 PST (1629 reads)
(Read More... | 754 bytes more | 1 comment | Score: 0)
SPIKA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR AFIKISHWA MAHAKAMANI
TANZANET-News

NA SARAH MOSSI

SPIKA wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Bwana Pandu Ameir Kificho, amefikishwa katika Mahakama Kuu ya Vuga Zanzibar, akidaiwa kumhamisha mfanyakazi wa Baraza hilo kinyume cha sheria.

Kiongozi huyo wa Baraza alifikishwa katika Mahakama hiyo Desemba 29 mwaka jana.

Mlalamikaji katika shauri hilo, ni Bibi Mwanaisha Ali Said, aliyekuwa mfanyakazi wa Baraza hilo ambaye amehamishiwa Wizara ya Elimu, Utamaduni na Michezo Zanzibar, kwa madai ya kuvujisha siri za Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya Katiba, Sheria na Utawala Bora, uhamisho ambao Bibi Mwanaisha hakuridhika nao, akidai umefanywa kwa misingi ya uonevu.

Posted by mpitanjia on Thursday, January 08 @ 05:11:01 PST (1543 reads)
(Read More... | 3391 bytes more | 1 comment | Score: 0)
Dira warned against online publishing
TANZANET-News

Thursday, December 04, 2003
By  Guardian Correspondent, Zanzibar

The Zanzibar government has threatened to take legal action against the editorial board of the banned Dira weekly newspaper if it will attempt to publish the paper on the Internet. Zanzibar Information Services Director Enzi Talib told a news conference here, in response to the Dira Managing Editor, Ali Nabwa´s announcement that the paper would continue to come out through the Internet.

Posted by tanzanet on Friday, December 05 @ 06:38:24 PST (1556 reads)
(Read More... | 1786 bytes more | 1 comment | Score: 0)
All logos and trademarks in this site are property of their respective owner. The comments are property of their posters, all the rest © 2001-4 by TANZANET-Online.org inc. Powered by:


The Networking, Research & Development Committee.